Sunday, January 17, 2016

Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL

Nambari Klabu Mechi Mabao Alama 1 Arsenal 22 16 44 2 Leicester 22 13 44 3 Man City 22 22 43 4 Tottenham 22 20 39 5 Man Utd 22 8 37 6 West Ham 22 8 35 7 Stoke 22 2 33 8 Crystal Palace 22 -1 31 9 Liverpool 22 -3 31 10 Southampton 22 7 30 11 Everton 22 7 29 12 Watford 21 1 29 13 West Brom 22 -8 27 14 Chelsea 22 -3 25 15 Bournemouth 22 -11 24 16 Norwich 22 -14 23 17 Newcastle 22 -15 21 18 Swansea 21 -11 19 19 Sunderland 22 -18 18 20 Aston...

Rouhani apongeza makubaliano ya nyuklia

Rais Hassan Rouhani amesema Jumapili (17.01.2016) wale waliokuwa na mashaka ambao walionya makubaliano ya nyuklia na mataifa yenye nguvu hayatokuwa na manufaa kwa Iran "wote wamethibitishiwa kuwa walikuwa sio sahihi. Rais Hassan Rouhani katika mkutano na waandishi wa habari Tehran. (Jumapili 17.01.2016) Rouhani amewaambia waandishi wa habari mjini Tehran kwamba...

Iran yarejea katika jumuiya ya kimataifa baada ya kutengwa kwa muda mrefu

Mkataba baina ya Iran na mataifa makubwa sita umeanza kutekelezwa baada ya shirika la kudhibiti matumizi ya nyuklia duniani IAEA kuthibitisha kwamba Iran imezitimiza dhima zake juu ya mkataba huo Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif mjini Vienna Iran imeondolewa vikwazo na jumuiya ya kimataifa vilivyouathiri uchumi wa nchi hiyo kwa kiwango kikubwa...