Thursday, May 4, 2017

MAN U YAIBAMIZA CELTA VIGO BAO MOJA

 
















 
Marcus Rashford amefunga bao pekee wakati Man United ikishinda kwa bao 1-0 dhidi ya Celta Vigo katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Europa.

Bao hilo la dakika ya 67 limekuwa kivutio kikubwa kutokana na mkwaju wa adhabu mwanafunzi huyo wa sekondari alioupiga na kufunga.

0 comments:

Post a Comment