KILIMO ni sekta inayotegemewa kiuchumi na Watanzania zaidi ya
asilimia 75, kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa kitakwimu uliofanywa na
mashirika tofauti ya ndani na kimataifa, Shirika la Chakula na Kilimo
la Umoja wa Mataifa (FAO), kwa mujibu wa ripoti yake ya 2013, kilimo
kinachangia asilimia 30 ya pato la ndani...