Thursday, August 20, 2015

KOREA KASKAZINI NA KUSINI WACHOKOZANA KIVITA






Masaa machache yaliyopita Korea Kaskazini imerusha makombora aina ya rocket na kuipiga Korea kusini na pia wakavipiga vipasa sauti vya Korea Kusini vilivyoko mpakani ambavyo hutumika kusaidia matangazo ya radio, shambulio hilo limejibiwa na Korea Kusini kwa kurusha makombora pia kuelekea Korea Kaskazini, majuzi Korea Kaskazini ilizionya Marekani na Korea Kusini kuacha mara moja mpango wao wa mazoezi ya kijeshi ya pamoja ikisema kama wataendelea na mazoezi hayo itawashambulia wote wawili na tayari imethubutu kuishambulia Korea Kusini ambayo nayo imejibu mapigo kwa kuishambulia pia Korea Kaskazini.

Ngoja tuone na tusubiri mwisho wa hii movie ambayo ikiendelea vita kuu ya tatu ya Dunia itawaka huku nasi tukishuhudia,walio nyuma ya North korea ni China, Russia na Iran.

Source: SHUDATE

Related Posts:

  • OIC Youth Capital 2017 in Morocco Islamic Conference Youth Forum for Dialogue and Cooperation (ICYF-DC), an international organization affiliated to the Organization of Islamic Cooperation (OIC), announces the call for application for the Fez –… Read More
  • Waziri Mkuu: Majiji Yote Kujengwa Barabara za Kisasa     WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ina mkakati wa kufanya Majiji yote nchini yawe na barabara za viwango vya kimataifa na zinazopitika kwa urahisi. “Tumeanza kujenga barabara za kisasa katik… Read More
  • MAN U YAIBAMIZA CELTA VIGO BAO MOJA     Marcus Rashford amefunga bao pekee wakati Man United ikishinda kwa bao 1-0 dhidi ya Celta Vigo katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Europa. Bao hilo la dakika ya 67 limekuwa kivutio … Read More
  • Serikali kuvunja nyumba zilizojengwa bila kibali Serikali imewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Ardhi, Maafisa Ujenzi na Maafisa Mipangomiji kuweka alama za X na kuvunja majengo yote yanayojengwa katika miji yao bila kibali na yale yanayojengwa katika viwan… Read More
  • Uteuzi wa Rais Robert Mugabe watenguliwa Shirika la Afya Dunia (WHO) limetengua uteuzi wa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuwa Balozi Mwema wa Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs) barani Afrika kutokana na malalamiko ya watu mbalimbali wakielezea kutoridhishwa na u… Read More

0 comments:

Post a Comment