Home »
» KOREA KASKAZINI NA KUSINI WACHOKOZANA KIVITA
10:51 PM
Masaa machache yaliyopita Korea Kaskazini imerusha
makombora aina ya rocket na kuipiga Korea kusini na pia wakavipiga
vipasa sauti vya Korea Kusini vilivyoko mpakani ambavyo hutumika
kusaidia matangazo ya radio, shambulio hilo limejibiwa na Korea Kusini
kwa kurusha makombora pia kuelekea Korea Kaskazini, majuzi Korea
Kaskazini ilizionya Marekani na Korea Kusini kuacha mara moja mpango wao
wa mazoezi ya kijeshi ya pamoja ikisema kama wataendelea na mazoezi
hayo itawashambulia wote wawili na tayari imethubutu kuishambulia Korea
Kusini ambayo nayo imejibu mapigo kwa kuishambulia pia Korea Kaskazini.
Ngoja tuone na tusubiri mwisho wa hii movie ambayo ikiendelea vita kuu
ya tatu ya Dunia itawaka huku nasi tukishuhudia,walio nyuma ya North
korea ni China, Russia na Iran.
Source: SHUDATE
Related Posts:
OIC Youth Capital 2017 in Morocco
Islamic Conference Youth Forum for Dialogue and Cooperation
(ICYF-DC), an international organization affiliated to the Organization
of Islamic Cooperation (OIC), announces the call for application for the
Fez –… Read More
Waziri Mkuu: Majiji Yote Kujengwa Barabara za Kisasa
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ina mkakati wa kufanya Majiji
yote nchini yawe na barabara za viwango vya kimataifa na zinazopitika
kwa urahisi.
“Tumeanza
kujenga barabara za kisasa katik… Read More
MAN U YAIBAMIZA CELTA VIGO BAO MOJA
Marcus Rashford amefunga bao pekee wakati Man United ikishinda kwa bao
1-0 dhidi ya Celta Vigo katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Europa.
Bao hilo la dakika ya 67 limekuwa kivutio … Read More
Serikali kuvunja nyumba zilizojengwa bila kibali
Serikali
imewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Ardhi, Maafisa Ujenzi na
Maafisa Mipangomiji kuweka alama za X na kuvunja majengo yote
yanayojengwa katika miji yao bila kibali na yale yanayojengwa katika
viwan… Read More
Uteuzi wa Rais Robert Mugabe watenguliwa
Shirika
la Afya Dunia (WHO) limetengua uteuzi wa Rais wa Zimbabwe, Robert
Mugabe kuwa Balozi Mwema wa Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs) barani Afrika
kutokana na malalamiko ya watu mbalimbali wakielezea kutoridhishwa na
u… Read More
0 comments:
Post a Comment