Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameapishwa kuanza muhula mpya. Katika
hotuba yake, Bw Nkurunziza ameahidi kumaliza ghasia nchini mwake katika
kipindi cha miezi miwili. Maafisa wawili wa ngazi ya juu, akiwemo mkuu
wa zamani wa ujasusi wameuawa katika mashambulio tofauti mwezi uliopita,
baada ya uchaguzi uliokuwa na utata. Mwanaharakati mmoja wa haki za
binaadam pia alipigwa risasi na kujeruhiwa. Kulikuwa na jaribio la
kumpindua Rais Nkurunziza mwezi Mei.
Thursday, August 20, 2015
Home »
» Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameapishwa
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameapishwa
5:42 AM
No comments
Related Posts:
Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Chad, Hissène Habré inaanza kusikilizwa leo Siku 45 baadaye mawakili watatu walioteuliwa wamepata muda wa kutosha kuiangalia kesi hiyo lakini mteja wao hawatambui na amekataa kuwasiliana nao. Jaji wa mahakama ya Burkinabe, Gberdao Gustave Kam ataamua iwapo kesi hiyo… Read More
Rais wa Austria Heinz Fischer afanya ziara nchini Iran Rais huyo wa Austria anaenza ziara ya siku tatu nchini Iran leo ni kiongozi wa kwanza wa nchi ya magharibi kwenda katika nchi hiyo tokea mwaka wa 2004 . Rais wa Austria wa wakati huo Thomas Klestil alikuwa kiongozi wa mwish… Read More
Watoto wa familia moja wafa maji wakivua samaki ziwa victoria Watoto wawili wa familia moja wamekufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na kuzama katika Ziwa Victoria. Akithibitisha tukio hilo la juzi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ka… Read More
Maelfu ya Wahamiaji wanajaribu kuingia bara Ulaya. Huku Umoja wa Ulaya ukiangalia uwezekano wa kuwashughulikia wale ambao tayari wapo huko. Shirika la Umoja wa Mataifa la huduma kwa Wakimbizi limeanza kuwasaidia maafisa wa Ugiriki kuwapokea idadi kubwa ya wahamiaji wapya … Read More
Shirika la Umeme (TANESCO) limetangaza Nchi kuwa gizani kwa siku 7 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuwatangazia wateja wake walioungwa kwenye gridi ya taifa kote nchini kuwa majaribio ya Mtambo wa kufua umeme wa Kinyerezi 1 megawati 150 yanaendelea vizuri na sasa tupo kweny… Read More
0 comments:
Post a Comment