Friday, August 21, 2015

MGOMBEA UBUNGE CHADEMA ATEKWA

Mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.

Nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.

Nimeongea pia na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili.



SHUDATE BLOG

Related Posts:

  • EMPLOYMENT OPPORTUNITY 1. MEDICAL OFFICER II (5 POSITIONS) Reports to : Head of Firm Duties and Responsibilities • To perform Medical duties in Obstetrics and Gynaecology, Surgery,Anaesthesia Medicine, Paediatrics, Preventive Medicine and … Read More
  • Ayew mechazaji bora Uingereza Mshambulizi matata wa klabu ya Swansea City Andre Ayew, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi uliopita, katika ligi kuu ya Uingereza ya Premier Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ghana mwenye umri wa miaka 25, amefunga mago… Read More
  • KOMBE LA FA LITATIMUA VUMBI RASMI HIVI KARIBUNI SASA ni rasmi kuwa Kombe la Shirikisho zamani FA linarejea msimu huu baada ya Kampuni ya Azam Media Limited kusaini mkataba wa miaka minne na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudhamini michuano hiyo kwa mkataba wenye tham… Read More
  • Mlipuko mkubwa watokea Yola, AdamawaImage copyrightAPImage captionMaafisa wa shirika la msalaba mwekundu Yola Mlipuko mkubwa umetokea katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani, mjini Yola, mji mkuu wa Jimbo la Kaskazini Mashariki la Adamawa. Mashirika ya kutoa m… Read More
  • WANAJESHI WA CAMEROON WASITISHA MGOMO Wanajeshi wa Cameroon, ambao wamekuwa kwenye mgomo baridi, kulalamikia kutolipwa mishahara yao, baada ya kuhudumu katika kikosi cha Umoja wa Mataifa, katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wamesitisha mgomo. Image copyrightAFPIm… Read More

0 comments:

Post a Comment