Friday, August 21, 2015

OTAMENDI ATUA CITY

Manchester City wamemsajili beki Nicolas Otamendi kutoka Valencia kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya pauni milioni 32. City watalipa kwanza pauni milioni 28.5 kumpata mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina ambaye alitajwa katika kikosi cha msimu 2014-25 cha La Liga na pia alicheza kwenye fainali ya Copa Amerika.
"Kuwa hapa katika klabu nzuri ni kama ndoto." amesema Otamendi.
Meneja wa Manchester City, Manuel Pellegrini amesema: "Ana nguvu, anaweza kukaba vizuri sana, na ni mzuri kiufundi."

Related Posts:

  • Rais Omar al-Bashir ziarani China Wizara ya mambo ya kigeni ya China imesema imetoa mualiko kwa Bashiri ili ahudhurie sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kumalizika vita vya pili vya dunia. Bashir ni mmoja wa viongozi wa kigeni watakaohudhuria gwaride k… Read More
  • WATANZANIA SITA WALIOKUA WAMETEKWA WAACHILIWA HURU HUKO DRC WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi. Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, … Read More
  • David Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango hapo baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo. Hakuna idadi kamili iliyoafikiwa, lakini Cameron alisema Uingereza itaendelea kuwachukua… Read More
  • Mwanajeshi wa Uholanzi ajiunga na Islamic state Mwanajeshi wa jeshi la wanahewa la Uholanzi, anadaiwa kusafiri hadi nchini Syria na kujiunga na kundi la wapiganaji la Islamic State. Wizara ya ulinzi ya Uholanzi, imesema mwanajeshi huyo ni sajini wa umri mwenye umri wa … Read More
  • Welbeck kuwa nje miezi mitatu Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal Danny Welbeck atakuwa nje ya Uwanja mpaka mwezi Disemba baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye GotiArsenal imeeleza kuwa matibabu kwenye Goti hilo hayakwenda vizuri na Wiki iliyopita ikaamuliwa… Read More

0 comments:

Post a Comment