Friday, September 11, 2015

Ayew mechazaji bora Uingereza



Mshambulizi matata wa klabu ya Swansea City Andre Ayew, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi uliopita, katika ligi kuu ya Uingereza ya Premier

Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ghana mwenye umri wa miaka 25, amefunga magoli matatu, msimu huku, huku Swansea ikiwa haijapoteza mechi yoyote msimu huu.
Image copyrightGetty
Image captionWachezaji wa Swansea
Swansea inashikilia nafasi ya nne kwenye msururu wa ligi kuu, ikiwa na alk alama nane, baada ya kucheza mechi nne.
Image copyrightGetty
Image captionAndre Ayew
Manchester City ingali kileleni na alama 12 ikifuatwa na Crystal Palace na Leicester zikiwa na alama tisa na nane mtawalia.
SHUDATE BLOG

Related Posts:

  • Mwanajeshi wa Uholanzi ajiunga na Islamic state Mwanajeshi wa jeshi la wanahewa la Uholanzi, anadaiwa kusafiri hadi nchini Syria na kujiunga na kundi la wapiganaji la Islamic State. Wizara ya ulinzi ya Uholanzi, imesema mwanajeshi huyo ni sajini wa umri mwenye umri wa … Read More
  • Welbeck kuwa nje miezi mitatu Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal Danny Welbeck atakuwa nje ya Uwanja mpaka mwezi Disemba baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye GotiArsenal imeeleza kuwa matibabu kwenye Goti hilo hayakwenda vizuri na Wiki iliyopita ikaamuliwa… Read More
  • WATANZANIA SITA WALIOKUA WAMETEKWA WAACHILIWA HURU HUKO DRC WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi. Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, … Read More
  • ASKOFU GWAJIMA KUSTAKIWA NA TANESCO SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeishtaki polisi Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima kutokana na kuharibu miundombinu ya umeme katika maeneo ya shirika hilo Jumamosi iliyopita na kusab… Read More
  • David Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango hapo baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo. Hakuna idadi kamili iliyoafikiwa, lakini Cameron alisema Uingereza itaendelea kuwachukua… Read More

0 comments:

Post a Comment