Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa, leo tarehe 1 Septemba 2015, atavunja ukimya kwa kuongea na wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Mhe. Dkt ameandaa mkutano huo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, leo kuanzia saa NANE mchana, mkutano ambao utarushwa moja kwa moja na vituo vya televisheni, radio na mitandao ya kijamii vya hapa nchini.
source: Jamii forum
shudate blog
Tuesday, September 1, 2015
Home »
» DR. SLAA ATAONGEA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI MCHANA HUU
DR. SLAA ATAONGEA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI MCHANA HUU
12:48 AM
No comments
Related Posts:
Umoja wa Afrika yasitisha uwanachama wa Burkina Faso Umoja wa Afrika umesitisha uwanachama wa Burkina Faso na kuwawekea vikwazo viongozi wa mapinduzi wakati wanajeshi wakifyatuwa risasi kuwazuwiya waandamamaji kuandamana kwenye Uwanja wa Mapinduzi nchini humo. Generali Gilbe… Read More
Mazungumzo ya usuluhishi yatibuliwa Burkina Faso Kundi la waadamanaji wanaounga mkono mapinduzi Burkina Faso wamevamia hoteli ya Laico mjini Ouagadougo Jumapili (20.09.2015) ambayo ilikuwa iandae mazungumzo yenye lengo la kurudisha serikali ya mpito ya kiraia. Waandama… Read More
NAFASI ZA KAZI BANK OF TANZANIA - BOT ( DEPOSIT INSURANCE BOARD (DIB)) - DEADLINE OCT 9, 2015 EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Deposit Insurance Board (DIB) is a public institution established under Section 37(1) of the Banking and Financial Institutions Act (BFIA) 2006 to formulate policy, manage and control Deposit In… Read More
MABASI 138 YA MRADI WA BRT YAWASILI DAR TATIZO la usafiri katika Jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua baada ya mabasi 138 ya Mradi wa mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza kazi Oktoba 2 mwaka huu kuwasili katika Bandari ya Dar es Salaam yakitokea… Read More
Unalifahamu bara la Africa? Haya ni mambo 25 kuhusu bara la Africa 1 Bara la pili kwa ukubwa Africa ni bara la pili kwa ukubwa miongoni mwa mabara saba ya Ulimwengu. Lina kilomita za mraba 30 million, kilomita 14 million pungufu ya bara linaloongoza kwa ukubwa; bara la Asia ambalo lin… Read More
0 comments:
Post a Comment