Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeendelea kujiaibisha baada ya jana kueleza kuwa litatumia tiketi za mfumo wa kizamani za vishina kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.
Msimu huu wa ligi hiyo utaanza rasmi Septemba 12 ukishirikisha timu 16 kutoka mikoa tisa ya Tanzania Bara.
Baraka Kizuguto, Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa wataendelea kutumia tiketi za vishina hadi pale kasoro zilizojitokeza katika mfumo wa kisasa wa tiketi za elektroniki zitakaporekebishwa.
“Tiketi za elektroniki hazikusitishwa na TFF, zilisitishwa na serikali. Tutaendelea kutumia tiketi za kawaida msimu huu hadi pale wahusika watakapokubaliana kurejea kwenye mfumo wa tiketi za kielektroniki baada ya kurekebisha kasoro zilizojitokeza msimu uliopita,” alisema Kizuguto.
SHUDATE BLOG
Tuesday, September 8, 2015
Home »
» TIKETI ZA VISHINA KUENDELEA KUTUMIKA VPL 2015/16
TIKETI ZA VISHINA KUENDELEA KUTUMIKA VPL 2015/16
12:57 AM
No comments
Related Posts:
MOST TALLEST BUILDING IN TANZANIA #NameImageCityHeight (≈ m)FloorsYear 1PSPF Commercial Twin TowersDar es Salaam152.80352014 2Rita TowerDar es Salaam123302014 3Uhuru HeightsDar es Salaam102.6272012 3Millennium TowerDar es Salaam-302014 4Umoja wa Vijana Co… Read More
20 MOST UNIQUE BUILDING IN ASIA Largest and most populous continent Asia is notable for its unusually dense and large settlements. Some of the buildings in Asia are innovative, experimental and unique. Many of these strange buildings are in China. Her… Read More
THE MOST TALLEST BUILDING IN THE WORLD RankBuilding[A][9]CityCountryHeight (m)[3]Height (ft)FloorsBuilt 1Burj Khalifa†Dubai UAE828 m2,717 ft1632010 2Shanghai TowerShanghai China632 m[10]2,073 ft1232015 3Abraj Al-Bait Clock TowerMe… Read More
UMOJA WA ULAYA WASEMA UCHAGUZI WA MWAKA HUU NI MKALI TOFAUTI NA MIAKA MINGINE YA UCHAGUZI ILIYOPITA Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita chini ya mfumo wa vyama vingi. Tangu kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2… Read More
MOST TALLEST BUILDING IN AFRICA BuildingPinnacle HeightFloorsYearCountryCity Carlton Centre223 m (732 ft)501973 South AfricaJohannesburg Ponte City Apartments173 m (568 ft)541975 South AfricaJohannesburg UAP Tower[3][4]163&n… Read More
0 comments:
Post a Comment