Niko hapa Hospitali ya Wilaya ya Same, naona watu wanamiminika kwa wingi baada ya Mwalimu,Ntarishwa Samweli Vianga (63), kufariki dunia jana kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupigwa na watoto wake wawili waliotajwa kwa majina ya Kachuchu (27) na Kitoi (22).
Huyu ni Mwalimu mwenzetu alikuwa ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Mtunguja iliyopo Kata ya Vudee - Same mkoani Kilimanjaro lakini leo nimefika hapa mjini kuchukua mshahara ndio nakakutana na hizi habari ikabidi nije nithithibishe taarifa hizi nikakuta huyu ndugu yetu hatunaye tena.
Majirani zake hapa hospitalini wanasema chanzo cha tukio kifo cha huyu mwenzetu ni kutofautiana na watoto wake wawili ambao walitaka Baba yao ambaye sasa ni marehemu ampe mmoja wa mtoto aliyetajwa kwa jina la Kachuchu hela kiasi cha shilingi 6,000 kila siku anapokwenda shamba na mwingine aihitaji apewe urithi wa shamba na mali zake ambaye ni mtoto wa mwisho anayeitwa Kitoi.
Lakini pia hao watoto wake wanaelezwa na majirani zake waliopo hapa kuwa wanatumia dawa za kulevya kwa muda mrefu. Jana Septemba mosi, 2015 alipelekwa kutibiwa Hospitali baada ya Mision ya Vudee inayomilikiwa na KKKT Dayosisi ya Pare lakini muda mfupi alipoteza maisha kutokana na kuvuja damu nyingi, pia naambiwa huenda alikuwa na mpresha.
Juzi ndio marehemu alipigwa na watoto hadi Baba yao kabla hajafa akatoa taarifa kwenye Ofisi ya Kijiji kuwa amewashindwa watoto wake baada ya hapo walikamatwa na Askari na sasa wako hapa Kituoni Same.
SHUDATE BLOG
Wednesday, September 2, 2015
Home »
» Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mtunguja afariki dunia
Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mtunguja afariki dunia
4:42 AM
No comments
Related Posts:
Christopher Mtikila, Chipaka na Malisa Waenguliwa Mbio za Urais Wanasiasa wakongwe nchini, Christopher Mtikila na John Lifa- Chipaka wametupwa nje ya kinyang’anyiro cha kugombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kushindwa kutimiza vigezo vya kisheria. … Read More
EMPLOYMENT OPPOPRTUNITY v\:* {behavior:url(#default#VML);} o\:* {behavior:url(#default#VML);} w\:* {behavior:url(#default#VML);} .shape {behavior:url(#default#VML);} Normal 0 false false false false EN-U… Read More
Mh. LOWASA ARUDISHA FOMU YA URAISI KATIKA OFISI ZA NEC Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Ukawa, Mhe. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea Mwenza Juma Haji Duni leo wamekamilisha zoezi la kurudisha fomu katika tume ya Taifa ya Uchaguzi… Read More
vidonge vya kuongeza uwezo wa kufikiri- marekani Brain enhancing 'modafinil' is the world’s first safe “smart drug” according to researchers at Oxford University and Harvard Medical School, who confirmed it really does enhance mental performance. Scientists looked at … Read More
2016 Norway Quota Scholarship Scheme for 800 Bachelors, Masters and PhD Students from Developing Countries Brief description: The Norwegian Government offer scholarship funds for the Quota Scholarship scheme for Bachelor’s, Master’s and PhD Students from Developing Countries at universities and university colleges in Norw… Read More
0 comments:
Post a Comment