Friday, September 4, 2015

David Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji



Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango hapo baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo.
Hakuna idadi kamili iliyoafikiwa, lakini Cameron alisema Uingereza itaendelea kuwachukua maelfu.
Wakimbizi wengine wanatarajiwa kutoka kwenye Makambi ya Umoja wa Mataifa katika mpaka wa Syria, na si miongoni mwa wale ambao tayari wako Ulaya.
Waziri Mkuu,ambaye amepata shinikizo kuongeza nguvu kushughulikia tatizo la wahamiaji, atatoa kauli yake nchini Uhispania baada ya mazungumzo na Viongozi wenzao.
Cameron anakutana na wenzake wa Portugal na Uhispania kwa ajili ya mazungumzo ambayo yametawaliwa zaidi na maswala ya mzozo wa uhamiaji.
SHUDATE BLOG

Related Posts:

  • DR. SLAA ATAONGEA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI MCHANA HUU Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa, leo tarehe 1 Septemba 2015, atavunja ukimya kwa kuongea na wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wake na waandishi wa … Read More
  • SAFARI YA DE GEA MADRID YASHINDIKANA Uhamisho wa Golikipa David De Gea kutoka Manchester United kwenda Real Madrid ya Hispania umekwama dakika za mwisho kwa sababu ya karatasi muhimu za uhamisho kuchelewa . Madrid walikua tayari kutoa dau la pauni milioni 29… Read More
  • Watson, Ivanovic wachapwa US Open 2015 Muingereza Heather Watson amepoteza mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza katika michuano ya wazi ya Us Open. Watson amepoteza mchezo huo mbele ya Mmarekani Lauren Davis kwa seti 7-6 (7-3) 7-6 (7-0). Nyota huyu ambaye ali… Read More
  • MAREKANI YAPELEKA NDEGE ZISIZO NA RUBANI (DRONES) LATVIA The U.S. deployed MQ-1 Predator drones to Latvia for the first time this weekend, the Pentagon announced Monday. The move is part of the "European Reassurance Initiative," an effort by the U.S. to show its NATO allies i… Read More
  • TAIFA STARS KURUDI NYUMBANI LEO KUTOKA UTURUKI Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kurejea leo usiku kutoka nchi Uturuki ilikokua imeweka kambi. Taifa Stars iliweka kambi ya wiki moja kujifua na mchezo wake dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria hapo Se… Read More

0 comments:

Post a Comment