Friday, September 11, 2015

KUELEKEA MAN UNITED VS LIVERPOOL : TETESI ZINASEMA KWAMBA DE GEA ANAWEZA KUANZA MECHI HII

gera

Jana nikiwa hapa Manchester alionekana wakala wa De Gea ambapo baada ya mazoezi inasemakana kulikua na kikao kati ya Van Gaal na De Gea ili kumaliza tofauti zao. Sasa kutokana na sababu za Van Gaal kwanini alikua hampangi kwenye mechi De Gea, alisema kwamba mchezaji huyo hayupo focus kutokana na mambo ya uhamisho wake yanavyoendelea.
Sasa hivi mambo hayo yameisha na inaaminika kwamba wamekaa na kumaliza tofauti kati yao. Pia kizuri zaidi wanategemea kusaini mkataba mpya wa De Gea kuendelea kukaa ndani ya Man united.
Sasa tetesi mpya zinasema kwamba mchezaji huyo bora wa Manchester united kwa msimu wa 2014/15 ataanza kwenye kikosi cha mechi dhidi ya Liverpool. Kutokana na tofauti kuisha na mambo ya uhamisho kupita hivi sasa kila mtu anategemea kumuona De Gea akicheza tena.

SHUDATE BLOG

Related Posts:

  • KAMA UNAHITAJI SCHOLARSHIP HEBU PITA HAPA COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS TENABLE IN SOUTH AFRICA COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS TENABLE IN SOUTH AFRICA.pdf Download Details Scholarship Tenable in Peoples Friendship University of Russia Scholarship Te… Read More
  • AJIRA CHUO KIKUU CHA DODOMA Academic Staff academic - 2015.pdf Download Details Administrative Staff administrative - 2015.pdf Download Details Employment Referee's Form Employment Referee's Form.pdf … Read More
  • Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mtunguja afariki dunia   Niko hapa Hospitali ya Wilaya ya Same, naona watu wanamiminika kwa wingi baada ya Mwalimu,Ntarishwa Samweli Vianga (63), kufariki dunia jana kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupigwa na watoto wake wawili waliotajwa kwa… Read More
  • USAJILI ENGLAND WATUMIA PESA NYINGI Siku ya mwisho kwa dirisha la usajili wa ligi kuu ya England imekua na matumizi makubwa ya pesa. kama ilivyokua kwa usajili wa Robinho au Fernando Torres. Ingawa usajili huu unagharimu fedha nyingi, lakini mara nyengine h… Read More
  • Segun Odegbami ametangaza nia ya uraisi FIFA Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria Segun Odegbami ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais katika chama cha soka duniani FIFA. Segun mwenye miaka 63 Alitwaa kombe la mataifa ya Afrika mwaka 1980 aikwa mchezaji… Read More

0 comments:

Post a Comment