Wednesday, September 16, 2015

UDOM--TARATIBU ZA UJAZAJI WA FOMU YA BIMA YA AFYA


Image result for udom
Wanafunziwa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mna taarifiwa kwamba kuanzia mwaka huu wamasomo (2015/2016), mtawajibika kuchangia katika Mfuko wa bima ya afya ya taifa(NHIF). Wanao paswa kulipia ni wale wote wasio kuwa na kadi za bima ya    afya ya taifa (NHIF).
Watakao jaza fomu ni wale watakao lipia tu.
Fedha zote (Tsh, 50,400/=) zilipwe kwenye NMB Akaunti namba 20101100115Unapoweka fedha hizo NMB benki hakikisha umeainisha vitu vifuatavyo.
1.                  Majina yako sahihi (kama ilivyo kwenye kitambulisho cha chuo),
2.                  Kozi unayo soma (eg. BED Com.)na
3.                  Namba ya usajili eg. T/UDOM/…./….
NB:  Deposit  Slip isiyo kuwa na maelezo stahiki (kama ilivyo kwenye namba 1 mpaka 3 hapo juu) haita pokelewa, na Mfuko wa bima ya afya ya taifa, hivyo huta pata kitambulisho.
Shilingi 49,600/=zita lipwa katika Account ya Chuo Kikuu cha Dodoma kama itakavyo elekezwa nauongozi wa UDOM.
Kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo (mwaka wa pilimwaka watatumwaka wanne). Wajaze Fomu iliyopo kwenye mtandao na kuituma ofisi za Bima ya afya Dodoma mapema iwezekanavyo  Kabla ya tarehe 10,Oktoba 2015.
Fomu hiyo inaweza kutumwa Kwa njia ya posta
MENEJA WAMKOA
OFISI YA BIMA YA AFYA DODOMA
S.L.P 2221
DODOMA.
Pia fomu hiyo inaweza kutumwa Kwa njia ya barua pepe .Tuma kwenye Email This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.">infododoma@nhif.or.tz. Scan vizuri fomu iliyo jazwa kikamilifu halafu itum ekwenye Email tajwa hapo juu.
Fomu halisi na deposit slip uta viwasilisha kwa Afisa wa Bima ya Afya mara ufikapo Chuoni na kupatiwa kitambulisho chako.
NB: Unapo tuma Fomu usitume na Deposit Slip (Original). 
Nakala ya fomu na deposit slip utazi wasilisha kwa Afisa wa Bima ya Afya mara ufikapo Chuoni.
http://www.udom.ac.tz/images/nhif.jpeg


FOR MORE INFORMATION VISIT UDOM WEBSITE

SHUDATE BLOG

Related Posts:

  • Mlipuko mkubwa watokea Yola, AdamawaImage copyrightAPImage captionMaafisa wa shirika la msalaba mwekundu Yola Mlipuko mkubwa umetokea katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani, mjini Yola, mji mkuu wa Jimbo la Kaskazini Mashariki la Adamawa. Mashirika ya kutoa m… Read More
  • EMPLOYMENT OPPORTUNITY 1. MEDICAL OFFICER II (5 POSITIONS) Reports to : Head of Firm Duties and Responsibilities • To perform Medical duties in Obstetrics and Gynaecology, Surgery,Anaesthesia Medicine, Paediatrics, Preventive Medicine and … Read More
  • KOMBE LA FA LITATIMUA VUMBI RASMI HIVI KARIBUNI SASA ni rasmi kuwa Kombe la Shirikisho zamani FA linarejea msimu huu baada ya Kampuni ya Azam Media Limited kusaini mkataba wa miaka minne na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudhamini michuano hiyo kwa mkataba wenye tham… Read More
  • WANAJESHI WA CAMEROON WASITISHA MGOMO Wanajeshi wa Cameroon, ambao wamekuwa kwenye mgomo baridi, kulalamikia kutolipwa mishahara yao, baada ya kuhudumu katika kikosi cha Umoja wa Mataifa, katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wamesitisha mgomo. Image copyrightAFPIm… Read More
  • Ayew mechazaji bora Uingereza Mshambulizi matata wa klabu ya Swansea City Andre Ayew, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi uliopita, katika ligi kuu ya Uingereza ya Premier Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ghana mwenye umri wa miaka 25, amefunga mago… Read More

0 comments:

Post a Comment